Hospitali moja nchini Kenya imeahidi
kuwalipia matibabu wagonjwa wa saratani kutoka nchini Uganda kufuatia
kuharibika kwa mashine inayotibu ugonjwa huo nchini Uganda.
Serikali ya Uganda tayari ilikuwa imetangaza kuwa itawasafirisha wagonjwa hao kupata matibabu nchini Kenya.
Post a Comment