![]() |
| Idadi ya wanajeshi wa Marekani walio Iraq itafikia 4100 |
Marekani itapeleka wanajeshi 200 zaidi nchini Iraq kusaidia katika vita dhidi ya kundi la Islamic State
Kando na wanajeshi hao, ndege za helicopter aina ya Apache nazo zitapelekwa kwa mara ya kwanza kupambana na Islamic state nchini Iraq.
Marekani pia ina mipango wa kuvipa vikosi vya Peshmerga ambavyo vinapigana na Islamic State zaidi ya dola milioni 400 kama msaada.



Post a Comment