Latest in Tech

Malkia Elizabeth atimiza 90


Malkia Elizabeth ametimiza miaka tisini ya kuzaliwa.Malkia atasheherekea siku hii kwa kukutana na wananchi wake katika matembezi atayafanya huko Windsor.

Malkia Elizabeth ametawala kwa muda mrefu zaidi katika historia ya Uingereza, muda unaokadiriwa kufikia zaidi ya sitini na nne.

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © bakinamimi. Designed by OddThemes & VineThemes