Home
»
UNIVERSE
» TUKIO LA AJABU KUTOWAI KUSHUHUDIWA KWA MIONGO MITATU; SAYARI ISIOJULIKANA ILIOPEAW JINA LA PLANET X KUIFUATA NA KUIKARIBIA SAYARI YA DUNIA KWA KASI YA AJABU
TUKIO LA AJABU KUTOWAI KUSHUHUDIWA KWA MIONGO MITATU; SAYARI ISIOJULIKANA ILIOPEAW JINA LA PLANET X KUIFUATA NA KUIKARIBIA SAYARI YA DUNIA KWA KASI YA AJABU
By
Unknown
•
06:34:00
•
UNIVERSE
•

1. Ni sayari ambayo kila baada ya miaka 3600 huingia katika solar system yetu na huikaribia dunia ila haitaigonga dunia.
2. Ni sayari ambayo mwaka 1982 shirika la marekani la mambo ya anga
"NASA" waliigundua ikiwa mbali sana nyuma ya pluto. Lakin kutokana na
kuto leta panic kwa watu shirika hilo na serikali yake walikaa kimya
bila kusema lolote kuhusu hio sayari na kulikuwa na gazeti la marekani
kipind hicho lilitangaza lakini baada ya siku kadhaa walikanusha kuhusu
hicho walichokisema angalia Untitled Document
3. Ni sayari ambayo watu wa kale ambao ni sumerians waliizungumzia kama
"crossing planet" ambayo ndo maana ya Nibiru. Wanasema ni sayari ambayo
ikipita katika huwa muda wa kila miaka 3600 takribani 1/3 ya viumbe hai
wanakufa.
4. Kwa sasa katika nchi za Canada, markani huko alaska, nchi za ulaya
ambazo zipo karibia katika northen hemisphere na nchi za kusini mwa
america na south africa hii sayari imeanza kuonekana kwa ukaribu zaidi
katika muda ule jua linapoanza kuchomoza. Inaonekana kama ni jua la pili
au mtoto wa jua kwa maana hii sayari ina moons ambazo zinawaka kama
moto.
5. Kuna habari kuhus Pole Shifts, mabadliko ya pole shifts husababishwa
na magnetic fields za dunia kiingiliwa na magnetic fields za hii sayari
ya Nibiru. Hivyo matukio kama Tsunami na matetemeko ya ardhi na milipuko
ya volcano vimeanza kutokea. Kadri inavozidi kusogea katika dunia ndio
uharibifu utazidi kutokea, hivyo watu watakufa sana.
6. Kuna uwezekano wa sayari hii ku-cross dunia katika kipndi cha miaka
mitatu kutoka sasa. Maana mwaka 2005 ilionekana kuwa inakuja kwa speed
sana na ilikuwa umbali wa 1 light year ambayo ni sawa na trillion 9.46
km kutoka duniani na ilikuwa na speed takribani 200 miles kwa sekunde.
So kati ya mwezi march au april 2015 au 2016 au 2017 itaipitia dunia kwa
ukaribu kwa muda wa Wiki 7.3 au siku 51.
7. Pia kuhusu hili imekaa kiimani zaidi hasa katika biblia katika kitabu
cha ufunuo wa yohana imezungumzia katika sura ya 6 mstari wa 12 hadi
14.......
8. Tokea mwaka 1983 kuna tetesi za ujenzi wa mahandaki "underground
bases" kuongezeka na iko chini ya serikali ya marekani baada ya kifaa
chao kilichotumwa na NASA kugundua kuwa planet X iko karibu kuingia
katika solar system.
9. Serikali kama ya marekani inasemwa kuwa ilipata ufumbuzi huu mapema
lakini ieamua ku-cover up ili kuondoa virugu na panic za watu duniani
kama wakijua mapema. Wameamua kufanya hivi ili kuwafanya wale wachache
tu wapate kupona katika catastrophe hii ikitokea hivi karibuni, ambao
watakuwa wamejihifadhi katika mahandaki hayo.
10. Kuna taarifa kuwa orbit ya sayari ya Jupiter kubadilika sehemu yake
tokea mwaka 2005, 2007, 2009 na 2012 lakini hawajaeleza kama mabadiliko
hayo yanasababishwa na nini?
11. Kuna sites zingine katika internet zinazungumzia hili tukio ni moja
ya siri kubwa za serikali za nchi zenye uwezo mkubwa duniani kuwa kama
moja ya njia pekee ya kupunguza population ukiachana na bio-weapons
kama ebola, kimea, AIDS.
12. Kutangwaza kwa Planet X au NIBIRU itatangazwa kwenye vyombo ya
habari pale itakapo fika kabisa ambapo karibia watu wote wa duniani
wataiona na hapo ndipo vurugu zitaanza maana tayari wale waliyokwisha
kuijua mapema watakuwa tayari katika underground bases zao wakusubiria
hiyo hali ipite.
13. Kuna njia ya ku-survive pale tukio hili likitokea, wanapendekeza
maji na vyakula visivyo oza haraka na madawa yani first aid kit na
madawa mengine ya muhimu, ukae umbali wa miles 400 kutoka katika usawa
wa bahari, ukae mbali sana na maeneo yote ambayo vaolcano ilikuwa au ipo
muda kwa muda kama milima ya kilimanjaro na meru, kaa mbali na maeneo
ya bonde la ufa kuna uwezekano wa tetemeko la ardhi likaitanua zaid ya
hapo.

SIMILAR ARTICLES
Post a Comment