Latest in Tech

Ghasia zazidi mashariki mwa Ukrain

Wakuu wa jeshi wa Ukraine, wanasema kuwa ghasia zimezidi mashariki mwa nchi.

Wanasema kuwa wapiganaqji wanaopendelea Urusi, wamevunja makubaliano ya kusitisha mapigano, mara 30, katika saa 24 zilizopita, pamoja na matumizi ya mizinga ambayo imepigwa marufuku katika mkataba wa Minsk.
Inaarifiwa kuwa mabomba ya maji yaliyoharibika, yamekata huduma kwa miji kama Luhansk, na wapiganaji wamekataa mabomba hayo kutengenezwa.

Waziri wa Ulinzi wa Ukraine, Stepan Poltorak anasema Urusi inazidisha wanajeshi wake mpakani.

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © bakinamimi. Designed by OddThemes & VineThemes