Latest in Tech

AJTC ndicho chuo bora cha mafunzo ya uandishi wa habari na utangazaji nchini


hiki ni kibao cha chuo cha uandishi wa habari na utangazaji arusha <AJTC>


hili ni jengo la utawala katika chuo cha uandishi wa habari na utangazaji arusha <AJTC>
sehemu ya vyumba vya madarasa chuoni hapo
mkufunzi wa chuo hicho Bw: Thomas Ishengoma akifundisha moja kati ya madarasa chuoni hapo

wanafunzi wakisikiliza kwa makini darasani
baadhi ya wanafunzi chuoni hapo wakijifunza kompyuta

wanafunzi hushirikiana vyema kimsomo pindi wawapo darasani kwa kuelekezana yale wasiyoyafahamu

wakufunzi hua na muda wa ziada kuhahakisha wanafunzi wanaelewa zaidi pindi wanapoitaji

wanafunzi hupata muda wa mapumziko na kujadiliana maswala kadha wa kadha
wanafunzi hupata muda wa kufanya mazoezi kwa vitendo ili kujiimarisha zaidi kitaaluma

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © bakinamimi. Designed by OddThemes & VineThemes