
hiki ni kibao cha chuo cha uandishi wa habari na utangazaji arusha <AJTC> 

hili ni jengo la utawala katika chuo cha uandishi wa habari na utangazaji arusha <AJTC> 

sehemu ya vyumba vya madarasa chuoni hapo 

mkufunzi wa chuo hicho Bw: Thomas Ishengoma akifundisha moja kati ya madarasa chuoni hapo 

wanafunzi wakisikiliza kwa makini darasani 

baadhi ya wanafunzi chuoni hapo wakijifunza kompyuta 

wanafunzi hushirikiana vyema kimsomo pindi wawapo darasani kwa kuelekezana yale wasiyoyafahamu 

wakufunzi hua na muda wa ziada kuhahakisha wanafunzi wanaelewa zaidi pindi wanapoitaji 

wanafunzi hupata muda wa mapumziko na kujadiliana maswala kadha wa kadha 

wanafunzi hupata muda wa kufanya mazoezi kwa vitendo ili kujiimarisha zaidi kitaaluma 
| hiki ni kibao cha chuo cha uandishi wa habari na utangazaji arusha <AJTC> | 
| hili ni jengo la utawala katika chuo cha uandishi wa habari na utangazaji arusha <AJTC> | 
| sehemu ya vyumba vya madarasa chuoni hapo | 
| mkufunzi wa chuo hicho Bw: Thomas Ishengoma akifundisha moja kati ya madarasa chuoni hapo | 
| wanafunzi wakisikiliza kwa makini darasani | 
| baadhi ya wanafunzi chuoni hapo wakijifunza kompyuta | 
| wanafunzi hushirikiana vyema kimsomo pindi wawapo darasani kwa kuelekezana yale wasiyoyafahamu | 
| wakufunzi hua na muda wa ziada kuhahakisha wanafunzi wanaelewa zaidi pindi wanapoitaji | 
| wanafunzi hupata muda wa mapumziko na kujadiliana maswala kadha wa kadha | 
|  | 
| wanafunzi hupata muda wa kufanya mazoezi kwa vitendo ili kujiimarisha zaidi kitaaluma | 

 
 
 
 
 
 
 
 
 
Post a Comment