Latest in Tech

MICHEZO

SIASA

VIDEOS

Latest Updates

BEEF LAMFAIDISHA MEEK MILL

06:13:00
Msanii wa lebo ya Rick Ross ‘Maybach Music Group’ Meek Mill ambaye kwa sasa yupo kwenye beef na rapa Drake amefanikiwa kufikisha kopi milioni moja ya mauzo kwenye wimbo aliofanya na hasimu wake huyo.
Collabo ya Meek Mill na Drake “R.I.C.O.” imefikisha mauzo milioni moja na kutangazwa kuwa Platnum Single. Wimbo huu ulitoka mwaka 2015
Hivi karibuni mtu wa karibu na mwalimu wa muziki wa Drake ‘Jas Prince’ alisema beef ya Drake na Meek inakaribia kuisha.

Ray J amkana binti ye OBAMA

06:07:00
Rnb staa Ray J ametoa maelezo juu ya tuhuma zinazomkabili za kumtongoza mtoto wa rais Barack Obama kwenye Dm ya IG.
Staa wa muziki kutoka Marekani Ray J amefunguka juu ya tetesi kuwa amemtongoza mtoto wa rais Barack Obama ‘Malia Obama‘.
Ray J ameweka video online akisema “Sijapenda kinachoongelewa kuhusu mimi,niko nyumbani na familia yangu nasikia eti nimemtafuta mtoto wa Obama kwenye Dm yake, kwanini kila siku mnataka kunishusha, niko positive sana kwenye maish yangu, nategeme kufunga ndoa ijumaa hii sina time na mambo hayo“.
Msemaji wa Ray J naye alisema Ray anategemea kufunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Princess Love

VIDEO: New Snoop Dogg Ft Lil Duval ‘Kill ‘Em wit the Shoulders’

06:03:00
Hii video mpya ya Snoop Dogg na Lil Duval  “kill ’em wit the shoulders.” kutoka kwenye album yake ya Coolaid iliyotoka June mwaka huu.

Rapa aliyekuwa G Unit Young Buck ahukumiwa kwenda jela miezi saba.

03:19:00
Rapa aliyekuwa kwenye kundi la G Unit kabla halijasambaratika amehukumiwa kwenda jela miezi saba.
Young Buck ’35’ jumatano hii amekiri mbele ya mahakama kuvunja masharti ya kifungo cha nje chini ya uangalizi wa polisi na kuhukumiwa kurudi jela miezi saba.
Kupitia Instagram Buck aliomba marafiki zake wawe karibu na yeye akiwa jela
Young Buck alianza kuishi maisha chini ya uangalizi wa polisi toka mwaka 2013 na hapa kati amekuwa akivunja masharti ya kifungo cha nje kwa kukutwa akiwa ametumia marijuana kwenye vipimo vya mkojo na makosa tofauti ya fujo.

Rihanna apata shavu kubwa la kuigiza kwenye filamu ya ‘Ocean Eight’

03:15:00
Staa wa rnb kutoka Marekani Rihanna amepata shavu kubwa sana la kuigiza kwenye filamu ya Ocean Eight, ikiwa inahusu toleo la wanawake.
Rihanna ataigiza na wasanii kama Anne Hathaway, Sandra Bullock, Cate Blanchett, Helena Bonham Carter, Mindy Kaling, na Nora Lum aka Awkwafina).
Filamu itaongozwa na Gary Ross aliyeongoza filamu kama The Hunger Games na itatayarishwa na Steven Soderbergh. Filamu inaanza kurekodiwa October mwaka huu.
Soderbergh aliongoza utayarishaji wa filamu za Ocean toka mwaka 2001 Ocean Eleven,2004 na Ocean Twelve,na 2007 Ocean Thirteen. Mpaka sasa filamu hizi zimetengeneza dola za kimarekani bilioni $1.12 zikiwa na mastaa kama George Clooney, Brad Pitt, Matt Damon, Don Cheadle, na Bernie Mac.
Ukiacha filamu hio RiRi ataonekana kwenye filamu ya Luc Besson Valerian and the City of a Thousand Planets mwaka ujao akiwa na mastaa Cara Delevingne, Ethan Hawke, John Goodman, Clive Owen.Kwenye filamu tulimuona Rihanna kwenye Battleship mwaka 2012 na mwaka 2015 kwenye Home.

VIDEO: New Joe Budden Ft Tory Lanez & Fabolous ‘Flex’

03:15:00
Hii video mpya ya Joe Budden “Flex,”akiwa na wasanii  Tory Lanez na Fabolous. Hii ni kazi ya kwanza ya Joe isiyohusishwa na beef yake na Drake

VIDEO: New Jason Derulo ‘Kiss the Sky’ Enjoy.

03:07:00
Hii video mpya ya Jason Derulo kutoka kwenye cd yake ya Platinum Hits collection, video inaitwa “Kiss the Sky.”

VIDEO: CHIDI BENZ AFUNIKA KATIKA INTERVIEW

13:21:00

VIDEO: mpya Dully Sykes ft Harmonize 'inde'

12:09:00

DIRECTOR HANSCANA AIKACHA WANENE

10:40:00
Muongozaji wa video Tanzania,Hascana amefunguka kuhusu tetesi zilizoenea kwamba amefukuzwa kazi kwenye studio za Wanene entertainment ambazo zilikuwa zinamsimamia katika kazi zake za uongozaji wa video.
Akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo,Hascana amesema kuwa yeye hajafukuzwa na studio hizo bali yeye ndiye amevunja mkataba wa kufanya kazi na studio hizo na kuamua kujitegemea baada ya kuona tayari ameshafanya studio hizo zijulikane ambapo ndio ilikuwa kazi yake kubwa.
Wanene hawawezi kunifukuza kazi” alisema Hanscana, “ni kweli kwa sasa sifanyi kazi na Wanene,jukumu langu likuwa ni kufanya watu waifahamu wanene,kwa kuwa tayari imeshafahamika,jukumu langu nimeshakamilisha” aliongeza Hascana na kusema,”Nimeamua wakati huu kusimama Hascana kama Hascana lakini hatuna ugomvi wowote” na kuongeza kuwa mkataba wake ulitakiwa uishe mwakani lakini ameusitissha baada ya kuona studio hizo zina uwezo wa kusiamama peke yake.

WOLPER KUJA KIVINGINE KIMITINDO

06:32:00
Jacqueline Wolper amesema anakuja na mradi mkubwa wa fashion huku akidai kuwa ndio kitu anachokipenda zaidi katika maisha yake.
Wolper
Amedai kuwa kwa sasa yupo kwenye ujenzi mkubwa wa ofisi yake maeneo ya Kinondoni na kwamba akimaliza ataeleza nini hasa anachofungua.
“Sasa hivi nipo kwenye hatua za mwisho, nipo kwenye tiles ndio namalizia kuweka, nikimaliza pale ndio nitawaambia watanzania, mashabiki wangu na wanaopenda kupendeza ni kitu gani nafanya,” ameiambia Bongo5.
Amedai kuwa hiyo ni sababu kubwa imemfanya apumzike kwa muda kwenye filamu kwasababu suala la usambazaji limegeuka kuwa na changamoto.

Bifu lazuka kati ya The Rock na Vin Diesel kwenye utengenezaji wa Fast 8

06:19:00
Wiki hii The Rock aliwashtua mashabiki wake kwa kuandika kwenye Instagram kuwa baadhi ya waigizaji wenzake wa kiume kwenye filamu ya Fast 8 wana mambo ya kipuuzi.


Haikujulikana hasa alimlenga nani na sasa imebainika kuwa mbaya wake ni muigizaji mkuu wa filamu hiyo, Vin Diesel ambaye pia ni producer.
Inasemekana kuwa jitihada za kuwapatanisha wawili hao zinafanyika. Mara ya mwisho wawili hao walizichapa vikali kwenye filamu hiyo na sasa ugomvi huo umeingia kwenye maisha ya kweli, kwa mujibu wa TMZ.
Uadui huo unaweza kuwa hatari kwa filamu hiyo.
Jumatatu hii, The Rock aliandika ujumbe wa hasira kwenye Instagram akisema:
This is my final week of shooting #FastAndFurious8. There’s no other franchise that gets my blood boiling more than this one. An incredible hard working crew. UNIVERSAL has been great partners as well. My female co-stars are always amazing and I love ’em. My male co-stars however are a different story. Some conduct themselves as stand up men and true professionals, while others don’t. The ones that don’t are too chicken shit to do anything about it anyway. Candy asses. When you watch this movie next April and it seems like I’m not acting in some of these scenes and my blood is legit boiling – you’re right.
Bottom line is it’ll play great for the movie and fits this Hobbs character that’s embedded in my DNA extremely well. The producer in me is happy about this part😉. Final week on FAST 8 and I’ll finish strong.
#IcemanCometh #F8 #ZeroToleranceForCandyAsses
“The Rock’s rant about unprofessional male co-stars was targeted at Vin Diesel,” waliandika TMZ.
Tovuti hiyo imeripoti kuwa wawili hao walikuwa na mkutano wa siri Jumanne hii kujaribu kuyamaliza. Inasemekana kuwa wawili hao walikorofishana kutokana na Vin ambaye ni producer pia kuchukua maamuzi ambayo The Rock hakukubaliana nayo.
“Our sources say The Rock and Vin had a meeting on the Atlanta set mid-day Tuesday … partly because tensions were running so high it was almost impossible to shoot scenes. We do not know if they resolved their issues,” wameandika TMZ.
TMZ awali waliripoti kuwa waigizaji wengi wa filamu hiyo walichukizwa na ujumbe wa The Rock kwakuwa iliwafanya wote wakisiwe wamelengwa.
Chanzo kimoja pia kimeiambia E! News kuwa utengenezaji wa Fast 8 umekuwa mgumu hasa kwa The Rock.
“Things on set just ‘didn’t feel exactly the same’ this time around. And while Johnson ‘is the best guy on the planet to work with,’ he’s ‘also a very emotional guy’ and ‘likes things to go as he sees fit [while] also being fair,’” kilisema chanzo hicho.

50 CENT ATISHIA KUMUUA DIRECTOR WA FILAMU BAADA YA KUUONYESHA UUME WAKE LIVE

06:10:00
50 Cent amevuliwa nguo kwenye tamthilia ya Power baada ya uume wake kuonekana kwenye episode mpya na amechukia.
Katika kile ambacho wengi wanaamini kuwa rapper huyo hakuwa serious, amemwakia mtengezaji wa tamthilia hiyo, Courtney Kemp Agboh kuwa atamuua kwa kuacha uume wake uonekane.
50 na Courtney Kemp Agboh

Rapper huyo anayeigiza kama Kanan kwenye show hiyo alitumia Instagram kuandika: ‘Man I just saw episode 4, of POWER… Courtney I’m a kill you, this is not funny. ‘I think I just saw my (eggplant icon) in a scene. What the f*** Courtney call my phone NOW!!!’
Baadaye aliandika: Auntie G money, 😆 just called me and said man what the fuck did i just watch 😳 she’s traumatized. She said she had to get up twice.”

VIDEO; Mpya Bonge la Nyau Ft Q Chillah – 'Aza'

05:12:00
Msanii Bonge la Nyau ameachia video mpya ya wimbo unaitwa “Aza”, amemshirikisha Q Chillah. Video imeongozwa na Kwetu Studio.

VIDEO: mpya Rae Sremmurd Ft Lil Jon ‘Set the Roof’

04:47:00

Kundi la Rae Sremmurd linazidi kupata collabo na wakongwe kwenye muziki, This Time wamefanya kazi na mkali wa Crunk Music Lil Jon kwenye wimbo wao wa “Set the Roof” kutoka kwenye album yao ya  SremmLife 2.

 
Copyright © bakinamimi. Designed by OddThemes & VineThemes