Serikali ya Ethiopia inasema kuwa
wanajeshi wake wamelizingira eneo moja nchini Sudan Kusini ambapo
inaamini zaidi ya watoto 100 waliotekwa nyara wanazuiliwa.
Ethiopia imesema kuwa itawavamia washambuliaji wanaodaiwa kutoka katika jamii ya Murle.
Washambuliaji hao wanadaiwa kuingia nchini Ethiopia kutoka Sudan Kusini na kuchukua mifugo na mara nyengine huwateka watoto.
Post a Comment