Kanali mmoja wa jeshi amepigwa
risasi na watu wasiojulikana katika mji mkuu wa Burundi
,Bujumbura,kulingana na vyombo vya habari vya kundi la SOS nchini humo.
Ni miongoni mwa maafisa wa jeshi wa hivi karibuni kuuawa tangu rais Pierre Nkurunziza kunusurika jaribio la mapinduzi na maandamano kufuatia hatua yake ya mwaka jana kujiongezea mda wa kuhudumu kama rais wa taifa hilo.
Post a Comment