![]() |
Jaji Thakur alimuomba Waziri Mkuu Modi alete mabadiliko |
Jaji mkuu wa India, ametoa ombi kwa hamasa, kutaka nchi iajiri majaji zaidi.
Jaji Thakur alimuomba Waziri Mkuu Modi alete mabadiliko kwa kufikiria walioanzisha mashtaka, watu wanaosubiri magerezani, na maendeleo ya nchi.
![]() |
Jaji mkuu wa India, ametoa ombi kwa hamasa, kutaka nchi iajiri majaji zaidi. |
Waziri Modi aliahidi kutekeleza mabadiliko kamilifu katika wizara ya haki.
Post a Comment