kanye west na jay z |
Shabiki Justin Baker-Rhett amefungua kesi ya madai dhidi ya Kanye West, Jay Z’s S. Carter Enterprises na TIDAL akidai TLOP ilitangazwa kupatikana kwenye mtandao wa TIDAL lakini baada ya yeye kulipa apesa na kujiunga kwenye mtandao hio,album hii imewekwa kwenye mitandao mingine.
Kabla ya kutoka kwa album yake Kanye alitangaza kuwa album yake itakuwa TIDAL tu “My album will never never never be on Apple,” he tweeted at the time. “And it will never be for sale… You can only get it on Tidal.” Kanye na TIDAL wamepata faida ya zaidi ya dola milioni $84
Kanye ni miongoni mwa watu wanaomiliki TIDAL akiwa na Jay Z, Beyoncé, Madonna, Rihanna, J. Cole, na Nicki Minaj.
Post a Comment