Kampuni ya magari ya Mitsubishi
imekiri kwamba imekuwa ikitumia ukaguzi bandia wa kiwango cha mafuta
kinachotumiwa na magari hayo tangu mwaka 1991.
Makamu wa rais wa kampuni hiyo nchini Japan Ryugo Nakao amesema kuwa hajui ni magari mangapi zaidi yalioathiriwa.
Hisa za kampuni hiyo zilianguka zaidi kwa asilimia 10 mjini Tokyo siku ya Jumanne.
Post a Comment