Serikali ya Djibouti imesema kuwa rais Ismael Omar Guelleh, amechaguliwa tena kwa muhula wa nne kama rais.
Vyama vitatu vya upinzani vilisusia uchaguzi huo.
Mashirika ya kutetea haki za kibinaadamu yamemshutumu bwana Guelleh kwa kudhibiti uhuru wa kimsingi nchini humo.
Nafasi ya Djibouti katika eneo la bahari ya shamu, limeipa nafasi muhimu duniani.
Taifa hilo ndilo la pekee barani Afrika ambalo lina kambi ya kudumu ya wanajeshi wa Marekani
Post a Comment