Gari ya rapa Tyga wa Young Money imesachiwa na polisi baada ya
kutiliwa mashaka. Polisi wa mji wa Las Angles LAPD walisachi gari
alilokuwa akitembelea Tyga na washkaji zake.
Tyga alionyesha kukerwa na kitendo hicho na kuwaita polisi hao VIBAKA.
Bastola isiyokuwa na risasi ilikutwa kwenye gari hio na imetajwa
kumilikiwa na mlinzi wa Tyga na kwamba anakibali cha kubeba silaha hio.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Post a Comment