Dj Maarufu kutoka Compton ‘Dj Quik’ amesema Kanye West amekuwa muoga
wa kutoa album yake kwenye mauzio kushindana na wasanii wengine sababu
anaogopa kukalishwa.
Quik pia anasema Umaarufu wa Kanye West ni mkubwa kuliko ubora wa muziki wake, amekuwa mtu wa Kardashian sasa
Quik anafanya interview akitangaza album mpya ya “Rosecrans,” na amesema hii sio diss kwa Kanye West ila ni Changamoto.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Post a Comment