Latest in Tech

Beef la Faith Evans na Lil Kim limeisha.

Beef la zaidi ya miaka kumi la wasanii Faith Evans naLil Kim limeusha.Hii imeonekana kwenye video ya wasanii hawa wawili wakifanya mazoezi kwaajili ya show kubwa ya umoja wa kundi la Bad Boys Family.

Beef hili lilianza zaidi ya miaka 10 nyuma baada ya Lil Kim kuchepukana Notorious BIG ambaye alikuwa mpenzi wa Faith Evans. Awali palikuwa na amani kati yao baada ya Faith kupost picha ya Lil Kim akiwa kwenye show na kuandika
“@lilkimthequeenbee making it do what it do! #hits #whatsbeef #thatishisplayedout #wegrown #teamfizzy #teamprolific #incomparablealbum”
Lil Kim na Faith Evans wanategemewa kufanya show kwenye ziara za lebel ya Bad Boy Family inayoanza mwezi wa nane ikiwa na wasanii kama Ma$e, Puff Daddy, The Lox, na French Montana.

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © bakinamimi. Designed by OddThemes & VineThemes