Ex na mama mtoto wa rapa Tyga ‘Blac Chyna’ na mpenzi wake Rob
Kardashian wanategemea mtoto wao wa kwanza. Blac Chyna ametangaza habari
hizi nzuri kwenye siku chache kabla ya siku ya MAMA duniani kwa kuweka
picha yake akiwa na tumbo la ujauzito kwenye instagram yake.
Huyu atakuwa mtoto wa pili wa Blac Chyna, wakwanza alikuwa wa Tyga mwaka 2012 ‘King Cairo Stevenson’.
Ex wa Blac Chyna ‘Tyga’ anatoka kwa sasa na Kylie Jenner,Huyu atakuwa mtoto wa pili wa Blac Chyna, wakwanza alikuwa wa Tyga mwaka 2012 ‘King Cairo Stevenson’.



Post a Comment