Latest in Tech

BUFFON AFURAHIA UBINGWA WA LEICESTER CITY

Kipa mkongwe wa Juventus, Gianluigi Buffon ameonekana kufurahia ubingwa wa Leicester City ya England.

Buffon ambaye ana umri wa miaka 38, alionekana kufurahia ubingwa huo kama sehemu kwa Kocha Claudio Ranieri ambaye ni kocha wake wa zamani na raia wa Italia pia.

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © bakinamimi. Designed by OddThemes & VineThemes