
Hong kong nako kunakaribia na ya Monaco na huko ni $ 1 million unapata square meters 19 tu kwa bei hiyo inashika number 2 kidunia.

London nako wamo usingizi kwa $ 41, 900 mpaka $ 46,300 kwa square meters 23 unaweza kujidai na kukoloma juu kiroho safi.

mambo haya hapo Geneva kunakoaminika kuwa wanene wengi wameufukia umate mate wao jiji hapa, unaweza kujipatia usingizi wako kabambe kabisa kwa $ 29, 300 mpaka $ 32,400 kwa square meters. kwaiyo mwendo wa #3 kwa ghali.

Hapa ni jiji la Paris nisawa na London bei zake zina pigani vishoka tu kwa usawa gharama zake.

Singapore nako wamo gharama za maisha kwa usingizi wako mwenyewe zinaendana na zile za Ulaya...


Hii ni Sydney mjii ni sawa na New York City bei zake ni chavu moja huku unakunja goti huku unakunyua gharama hazipishani saana, Opera House huko ndiyo habari yenyewe.

Huu Haaa za kichina hizo gharama za usingizi Shanghai ni za kichina vile vile maana .....mh...ni $19,000 mwendo wakichina china unagota kwa $21,700 na change unarudishwa kaz hiyo.
Post a Comment