Akiwa na ujauzito wakati anafikisha umri wa miaka 50, pop staa Janet
Jackson amekuwa gumzo kubwa kwenye habari za burudani hivi karibuni.
Tetesi zinasema Janet na mume wake wanafikiria kumuita mtoto wao Michael Jackson kama atazaliwa mtoto wa kiume.
Jambo hili litafanyika kama kutunza kumbukumbu ya marehemu kaka yake ambaye ni mfalme wa Pop Michael Jackson.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)


Post a Comment