Kundi la wapiganaji la Hezbollah limesema mmoja wa makamanda wake wa juu ameuawa.
Anasemekana kwamba alikuwa ni wa pili kwa cheo katika kundi hilo, baada ya kiongozi wake Hassan Nasrallah.
Alikuwa akidaiwa pia kuhusika na mauaji ya Waziri mkuu wa Israel Rafiq Hariri mwaka 2005.


Post a Comment