Mwigizaji wa filamu za James Bond wa
sasa Daniel Craig amekata mkataba mpya wa kuigiza filamu hizi za 007,
huku muigizaji mpya akihisiwa kuwa ni Tom Hiddleston.
Mpaka sasa Daniel ndio staa aliyelipwa
zaidi kuigiza nafasi hii akiwa mpaka sasa amepokea Pound milioni £38 kwa
filamu nne alizofanya ndani ya miaka 11.
Awali Bond aliigiza Pierce Brosnan na kafanya filamu nne
kabla hajafikisha miaka 49 na sasa Craig ana miaka 48 na angeweza
kufanya filamu ya tano.
Inasemekana Daniel amekata kiticha cha Pound milioni £68
million ikiwa inakaribia dola milioni 100 ilikufanya filamu mbili za
James Bond.


Post a Comment