Latest in Tech

VAN GAAL BADO ANA IMANI KUSALIA MAN U KWA MSIMU UJAO


Louis van Gaal anasema yeye anafikiria atakuwepo na klabu ya Manchester United mpaka msimu ujao na atabaki kuwa meneja wa klabu hio.

Louis Van Gaal anategemea kumalizia miaka mitatu ya mkataba wake aliosaini na klabu hio mwaka 2014.
Louis anasema  “I have said I shall be here, that is my opinion, so the board has to decide if it is like that.”
Van Gaal amekuwa na presha toka mwezi December mwaka jana huku aliyekuwa kocha wa Chelsea manager Jose Mourinho ametajwa kuwa na maongezi ya kuchukua mikoba yake hapo Man United.

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © bakinamimi. Designed by OddThemes & VineThemes