![]() |
Louis van Gaal anasema yeye
anafikiria atakuwepo na klabu ya Manchester United mpaka msimu ujao na
atabaki kuwa meneja wa klabu hio.
Louis anasema “I have said I shall be here, that is my opinion, so the board has to decide if it is like that.”
Van Gaal amekuwa na presha toka mwezi December mwaka jana huku aliyekuwa kocha wa Chelsea manager Jose Mourinho ametajwa kuwa na maongezi ya kuchukua mikoba yake hapo Man United.
Post a Comment