Latest in Tech

Wizkid kuwasaini Efya, R2Bees na Mr Eazi kutoka Ghana kwenye label yake ya ‘Starboy Worldwide’

Wizkid aliwatangaza wasanii hao wanaofanya vizuri huko kupitia Twitter muda mfupi baada ya kutumbuiza kwenye Ghana Music Awards ambapo pia alibeba tuzo ya msanii bora wa Afrika.
Wizkid
Wizkid ambaye ameshika nafasi ya 12 katika chart ya wasanii ambao nyimbo zao zinapakuliwa zaidi kwenye mitandao ya iTunes na Spotify, alimtangaza pia rais mpya wa label yake.
Wizkid2
Hii ni chart ya wasanii wanaoongoza kwenye mtandao wa iTunes na Spotify
Wizkid-again-600x341

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © bakinamimi. Designed by OddThemes & VineThemes