Latest in Tech

Lil Wayne ashambuliwa kwa mara nyingine tena na ugonjwa wa kifafa.

Star wa muziki nchini Marekani Lil Wayne ameshambuliwa kwa mara nyingine tena na ugonjwa wa kifafa wiki mbili zilizopita.
Kwa mujibu a TMZ, Lil Wayne na timu yake walishusha ndege mara mbili ili rapa huyu apate matibabu na jambo jili liliwekwa siri kwa muda huu wa wiki mbili.
Lil Wayne aliamua kisitisha show zake kwenye club ya TAO mjini Las Vegas na kwa sasa madaktari wake waangali dose bora zaidi itakayo msaidia kuwa sawa na kufanya kazi pia. Wayne anaugulia mjini Miami.

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © bakinamimi. Designed by OddThemes & VineThemes