Ikiwa Manchester United wanaelekea kukamilisha usajili wa Paul Pogba kutoka klabu ya Juventus kwa ada pound milioni £100 ikiwa ndio rekodi mpya ya uhamisho kama itakamilika.
Man Untd walianza na ofa ya pound milioni £86 ila hata wakilipa hio badu malipo mengine na kodi itazidi ada waliyopokea klabu ya Tottenham ambayo ilikuwa pound milioni £85m wakati wa usajili wa Gareth Bale kwenda Real Madrid mwaka 2013.
Post a Comment