Latest in Tech

VIDEO; Diamond athibitisha kuja na collabo na Swizz Beatz

Collabo kati ya Diamond Platnumz na producer na rapper mkongwe wa Marekani, Swizz Beatz inakuja.
Staa huyo amethibitisha kuwa alizungumza na Beatz kuhusu kufanya wimbo wao walipokutana New York kwenye tamasha la One Africa Music.

“Tulikuwa tunazungumza kuhusu project ambayo tunatakiwa tuifanye, tuifanye Tanzania au tuifanye wapi, tulikuwa tunaangalia kwa benefit zote pia,” Diamond aliiambia 255 ya kipindi cha XXL kupitia Clouds FM.

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © bakinamimi. Designed by OddThemes & VineThemes