Dj mkubwa wa Marekani anayefanya kazi kwenye radio ya Hot 97 Dj Funkmaster Flex anaonekana kushinda beef kati yake na Drake.
Akiwa kwenye show yake rapa Drake amefunguka huko Ibiza nakusema
hamuogopi FunkFlex. Mwaka jana Flex alichochea beef ya Drake na Meek
Mill kuhusu Drake kutoandika mashairi yake mwenyewe.
Funkmaster Flex amesikika kwneye mtandao wa TMZ akisema “Nadhani
Drake bado anahasira na mimi ila mimi namuheshimu sana ila pia asijiweke
sawa na Kendrick Lamar,hawako kwenye ligi moja”
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)


Post a Comment