Latest in Tech

DRAKE AMEAMBIWA ASIJIFANANISHE NA KENDRICK LAMAR

Dj mkubwa wa Marekani anayefanya kazi kwenye radio ya Hot 97 Dj Funkmaster Flex anaonekana kushinda beef kati yake na Drake.

Akiwa kwenye show yake rapa Drake amefunguka huko Ibiza nakusema hamuogopi FunkFlex. Mwaka jana Flex alichochea beef ya Drake na Meek Mill kuhusu Drake kutoandika mashairi yake mwenyewe.

Funkmaster Flex amesikika kwneye mtandao wa TMZ akisema “Nadhani Drake bado anahasira na mimi ila mimi namuheshimu sana ila pia asijiweke sawa na Kendrick Lamar,hawako kwenye ligi moja”

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © bakinamimi. Designed by OddThemes & VineThemes