Bosi wa G.O.O.D Push T amesifia juhudi za Dessigner mwenye miaka 18 tu kwa sasa.
Dessinger ameweka rekodi mpya baada ya Chris Brown, rekodi hii ni kuwa msanii mdogo zaidi akiwa na miaka 18 kuwa na wimbo kwenye nafasi ya namba moja kwenye Billboard hot 100.Dessigner ametajwa kuwa msanii wa kuangali zaidi mwaka huu sio tu Marekani ila duniani kwa ujumla.
Chris Brown alishikilia rekodi hio mwaka 2007 akiwa na miaka 18 kwa wimbo wake wa “Kiss Kiss” na Lorde mwaka 2013 kupitia wimbo wa “Royals.”
Dessinger amepata mafanikio haya bila video ya “Panda” kitu ambacho kimatejwa kuwa ni kikubwa sana kwa msanii.
- Desiigner – “Panda”
- Lukas Graham – “7 Years”
- Drake feat. Wizkid & Kyla – “One Dance”
- Rihanna feat. Drake – “Work”
- Mike Posner – “I Took a Pill in Ibiza”
- Fifth Harmony feat. Ty Dolla $ign – “Work from Home”
- Meghan Trainor – “No”
- ZAYN – “Pillowtalk”
- Justin Bieber – “Love Yourself”
- G-Eazy feat. Bebe Rexha – “Me, Myself & I”
Post a Comment