Dj khaled amefanyiwa interview na radio ya New York Power 105 nakuongelea kukutana na Obama na tour na Beyonce.
Kuhusu kwenda tour na Beyonce, Dj Khaled amesema “Sijaongea naye toka wamenipa taarifa kuwa nitakuwepo kwenye show zake za ziara yake ya “Formation World Tour” ila nimebarikiwa kuwa karibu na Jay Z na Lenny [Santiago] na nitaweka juhudi zote hapo”.
Post a Comment