Katika kutangaza album yake mpya ya Views, rapa Drake amefunguka
nakusema hajaongea na Nicki Minaj tangu awe na bifu na Meek Mill
aliyesema Drake anaandikiwa mistari ya nyimbo zake.
Drake anasema “Siongei na Nicki na ni
mtu mwingine ninaye muheshimu na kumpenda zaidi, sio sababu ya kazi na
maisha yaetu ya nyuma, ila ni jinsi alivyokuwa wakati wa beef langu na
Meek Mill, sio tu mapenzi na mtu wake ila alivyokuwa ata mimi
nilijiuliza alifanyaje na itakuwaje ”
Drake na Nicki Minaj wapo kwenye lebel moja ya Young Money na wamefanya collabo zaidi ya moja.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Post a Comment