Rapa Drake amefunguka kuhusu kukosekana kwa wimbo aliofanya na Jay Z
na Kanye West kwenye album ya Views From The 6, Drake amesema sababu ya
kutokuweka wimbo huo ni kutokana na Jay Z ambaye aliweka mistari miwili
tu kwenye wimbo huo.
Drake anasema “Jay didn’t really do a verse. Really ‘Ye just sent it
to me like that. He said, ‘Jay just did my first few lines for
me…People want to hear Jay rap,’”
Drake anasema pamoja na kumheshimu sana Jay Z, huwa wanatofautiana sana mitazamo yao kuhusu muziki.
Home » burudani » Drake atoa sababu za kukosekana kwa colabo yake na Jay Z na Kanye West kwenye album ya Views.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Post a Comment