CEO Wa lebel kubwa ya muziki nchini Marekani Birdman ameonyesha
ishara ya kutaka HESHIMA yake kwa nguvu baada ya kuwachana watangazaji
wa kipindi cha “The Breakfast Club” ila alitoka kwenye interview kabla
ya mahojiano.
Alipoingia tu akiwa na wapambe wake, Birdaman alianza kwa kusema “I want to start this shit off by telling all three of y’all stop playing with my name,akiwataja watangazaji Charlamagne Tha God, Angela Yee, na DJ Envy. “Stop playing with my fuckin’ name… When my name come up, respect it,” Ikiwa ni onyo kali kutoka kwa Birdman.
Drama lilianza tena baada ya Charlamagne kumuuliza Birdman kama
amewahi kuzungumza wasanii Rick Ross au Trick Daddy—rapa waliowahi
kumponda kwenye show hiyo huko nyuma, bosi hiyo wa Cash Money
alikasirika zaidi na kusema “Y’all finished or y’all done? I ain’t got no more talkin’.”
Hata hivyo Dj Envy amedai kuwa Birdman ameomba radhi na yupo tayari kurejea tena kwaajili ya mahojiano.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Post a Comment