Latest in Tech

VITUKO UWANJANI: TAZAMA PICHA HII

Beki Nedum Onuoha wa QPR (kushoto) akipambana na Deniss Rakels wa Reading katika mechi ya Ligi Daraja la Kwanza England kwenye Uwanja wa Loftus Road, juzi. Mechi hiyo iliisha kwa sare ya mabao 1-1. Hapa kila mmoja alikuwa akiwania mpira, akajikuta amempa mwenzake “busu”.

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © bakinamimi. Designed by OddThemes & VineThemes