Rais wa Marekani Barack Obama amekuwa The
Coolest President Ever mitandaoni baada ya kitendo chake cha kudondosha
Mic baad aya kumaliza hutuba yake ya mwisho kwenye ikulu ya Marekani
‘White House’.
Barack Obama amechukua mtindo wa mcheza kikapu Kobe Bryant Lakes ya
Los Angeles kwa kuaga na maneno ya “Mamba out” na kuachia Mic idondoke
Chini.
Obama alimaliza kwa maneno haya “Obama out” na Mic akaiachia idondoke
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Post a Comment