Latest in Tech

Beyonce athibitisha kutokuwa na tatizo na baba yake.

Mbele wanasema ” No Daddy Issues” wakimaanisha hakuna tatizo kati ya Beyonce na baba yake hata baada ya tetesi kuwa watu hawa wawili hawako sawa kwa sasa.

Tetesi hizi ziliibuka baada ya mashairi ya Beyonce kwenye album ya Lemonade, kutafsiriwa kuwa baba yake alikuwa anampiga Beyonce wakati mtoto.

Mama yake Beyonce Tina Knowles aliweka picha ya Bey na baba yake  Mathew Knowles, wakiwa kwenye show ya Bey huko Texas
 7a43bcc53446faf7d608cc1cf3564c80

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © bakinamimi. Designed by OddThemes & VineThemes