Shavu hili limekuja baada ya WizKid kuwepo kwenye chati za Billboard kupitia wimbo wa ‘One Dance’ akiwa na Drake. Chris Brown alitangaza uwepo wa WizKid kwenye show yake kupitia instagram kwa kuandika WizKid atakuwepo kwenye “One Hell Of A Nite Tour”
WizKid pia anacolabo na Chris Brown ambayo bado haijatoka.



Post a Comment