Latest in Tech

D'BANJ ACHOKA MASWALI YAKUOA

Msanii Kutoka Nigeria D’banj ameongelea kwa mara ya mwisho tetesi za kufunga ndoa mwaka huu baada ya akuulizwa kuhusu kuwa na mipango hio mwaka huu…
D’Banj alijibu “Harusi yangu itakuwa siri na kimya kimya sana sababu nimechoka kuulizwa swali hili nwaka huu”.
D’banj pia amefunguka kuhusu show atakayokuwa anafanya na kituo cha MTV ya Lip Sync Battle Africa,na kusema ni show tofauti na show aliyowahi kufanya Ll Cool J ila kauli hii isichukuliwe kama namponda LL Cool J.

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © bakinamimi. Designed by OddThemes & VineThemes