Bongo fleva super staa Diamond Platnumz amezima zile stori kuwa ametoka kimapenzi na video model wa wimbo wa Rayvanny ‘Kwetu’.
Kupitia instagram yake Diamond amesema waliotengeneza taarifa hizo
wamechelewa sana. Hii ndio post ya maneno na picha aliyotumia. “diamondplatnumzRoho ya SIMBA!!!…. wanajaribu ila hawatokaa Waweze… Nakupenda Mpaka Naugua!
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Post a Comment