Drama kati ya rnb staa Ciara na Future zinaendelea na wiki hii kesi
yao kuhusu mzazi yupi ana haki ya kuwa na muda zaidi wa malezi ya mtoto
wao ‘Future’ imechukua hatua nyingine.
Jumatatu hii jaji mjini Los Angeles ameruhusu Future awe na haki sawa
za kuwa na mtoto wao Future na kwamba Ciara atagawanya muda wake na
mtoto wao pamoja na Future.
CiCi alifungua kesi hio akidai baba wa mtoto wake sio mtu mzuri
kabisa, Ciara kwa sasa ni mwanamitindo wa kampuni ya IMG Models na
atasherehesha tuzo za Billboard Music Awards pamoja na rapa Ludacris.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)


Post a Comment