
Baada ya nchi za Marekani na Cuba kukubaliana kidplomasia kufungua mipaka ya nchi zao iliyofungwa kwa miaka mingi kutokana na vita baridi, Kanye West ameonekana kwenye mitaa mbalimbali ya Harvana, Cuba akiwa na mke wake Kim Kardasian pamoja na mtoto wao, North West mwenye miaka 2.
Wakiwa nchini Cuba siku ya Alhamisi Kim alihudhuria kwenye fashion show ya Chanel Cruise collection.
Tazama picha zaidi:





Post a Comment