Latest in Tech

Utani wa 50 Cent waitibua EFFEN Vodka

Utani wa 50 Cent kwenye video aliyoipost kwenye Instagram akimdhihaki mlemavu wa akili umezidi kumtafuna rapper huyo. Mtandao wa AllHipHop.com umedai kuwa EFFEN Vodka, brand ambayo 50 ameipigia promo ya nguvu miezi ya hivi karibuni, imechukizwa na mambo ya kipuuzi ya rapper huyo.
“EFFEN is a brand that considers social responsibility the highest of priorities, and 50 Cent’s recent actions are in no way representative of EFFEN® Vodka or our brand values. We are taking this situation extremely seriously and have communicated our provound disappointment to 50 Cent directly,” wamesema.

50 Cent ameomba radhi kwa kupost video hiyo.
“While the incident at the airport resulted from an unfortunate misunderstanding, I am truly sorry for offending the young man,” alisema 50 Cent kwenye maelezo yake. “It was certainly not my intent to insult him or the disability community, which is a source of great strength in America. I have apologized personally to him and his family,” aliongeza.
Familia ya kijana huyo imekubali kumsamehe 50 na imeahirisha kumpeleka mahakamani.

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © bakinamimi. Designed by OddThemes & VineThemes