Latest in Tech

Kwa mara ya kwanza mwaka huu Birdman katoa kauli kuhusu album mpya ya Lil Wayne.

Boss wa Cash Money Birdman amefunguka kuhusu kumbani Lil Wayne kutoa album yake mpya ya Carter V. Birdman amehojiwa nyumbani kwake na kusema “Lil Wayne ni boss wa kazi zake mwenyewe, sijawahi kuingilia mambo yake, kwanini nisitoa album ya Tha Carter V, nina pesa nyingi sana nimewekeza kwenye lebel ya Young Money na Lil Wayne,dunia inastahili kuipata Carter V, atakapo taka kuitoa mimi niko sawa tu
Ni mwaka na miezi kadha sasa toka Lil Wayne aseme kuwa Birdman anamshikilia kwenye mkataba wa Cash Money huku akizuia album yake kutoka.

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © bakinamimi. Designed by OddThemes & VineThemes