Kauli hio imetolewa na wachambuzi wa mambo ya watu weusi na harakati za binadamu na kusema hatua alizochukua rapa mkubwa duniani Lil Kim kubadilisha muonekano na kublichi ngozi yake ilikuwa mweupe zimethibitisha ‘Black Is Not beautiful’.
Lil Kim aliwahi kutubu kuwa sababu ya kujibadilisha hivyo ni kutokana na kauli alizopata kutoka kwa wanaume wake toka mwaka 2000 kuwa hakuwa na uzuri wa kutosha hata kama alikuwa na shepu nzuri.
Post a Comment