Rapa Lil Kim wa lebel ya Diddy ya Bad Boy ametaja ngoma kali tano alizowahikuzipenda zaidi marehemu Notorious B.I.G.
Lil Kim anasema nyimbo hizo ni Warning, ‘Dead Wrong, Who Shot Ya, Hypnotize, Kick in the Door, na Somebody’s Gotta Die.
Nyimbo zote hizi zipo kwenye album mbili za BIG ambazo ni Life After
Death, na moja akutoka Ready to Die, na moja kutoka kwenye ile album ya
Born Again.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)


Post a Comment