Latest in Tech

RAPPER TYGA AMKOPA PESA NA MPENZ WAKE

Staa wa tv Kylie Jenner amekanusha kuwahi kumkopa Ex wake Tyga dola milioni $2 na kwamba kwa sasa hana pesa ndio maana anamdai rapa huyu.
Kupitia twitter Kylie amesema stori hizi ni za uongo na kwamba hajawahi kumpa dola milioni mbili Tyga,Tyga amekuwa miongoni mwa rapa waliotajwa kutokuwa na pesa nyingi hata kama anaishi maisha ya kistaa.
Hivi karibuni baada ya kuachana na Kylie, Tyga ametajwa kuanzisha mahusiano na mwanamitindo kutoka Uingereza Demi Rose.
Tyga kwa sasa ana record mpya kwenye radio inaitwa “Cash Money”.

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © bakinamimi. Designed by OddThemes & VineThemes