Latest in Tech

Mpiga picha wa Roc Nation atoa maelezo ya picha ambayo jay z alionekana akimfokea dj khaled


Mpiga picha wa kampuni ya Jay Z ya Roc Nation amefunguka kuhusu picha inayomuonyesha Jay Z akiwa SERIOUS kinoma na Dj Khaled huku wengi wakidhani alikuwa anamfokea Khaled ambaye kwa sasa ni msanii wake. 
Lenny S anasema “Maongezi haya yanaitwa Pre Show Pep Talkni issue ambazo Jay Z anaongea na watu wote wanaohusika kwenye show ya Beyonce” Sababu huwezi fanya show kali kama ya Beyonce, Lenny anasema Dj Khaled alitumia mbinu ya kuweka wasanii wote anaowamudu kwenye show yake na ndipo alipowapandisha Rick Ross, YO Gotti, 2 Chainz, Kent Jones, Trick Daddy, Weezy na Future .

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © bakinamimi. Designed by OddThemes & VineThemes