By
Unknown
•
02:30:00
•
burudani
•
Jumba kali la kifahari lililoangaliwa kwa ukaribu na familia ya The
Carter ‘Jay Z na Beyonce’ lililopo mjini LA limenunuliwa na mbunifu wa
mavazi na director Tom Ford.
Tom Ford ametoa dola milioni $50 na kununua jumba hilo lililopo huko
mitaa ya kistaa ya Beverly Hills. Jay Z na Beyonce walitaka kulipia dola
milioni $49 tu.
Jumba liko kwenye Ekaru 3.2, lina vyumba tisa vya kulala ,10
bathrooms. Lilijengwa mwaka 1934 , waliowahi kuishi humo ni pamoja na
mastaa wakubwa kama William Powell na mtayarishaji wa filamu za ‘James
Bond’ producer Albert Broccoli.
SIMILAR ARTICLES
Post a Comment