CEO Wa kundi la wasanii wa rapa wakali kwa sasa duniani la TDE
Anthony “Top Dawg” Tiffith amewaponda mashabiki wa kundi hilo kwa
kutonunua wimbo mpya wa ScHoolboy Q Ft Kanye West ‘That Part’.
Bosi huyu ansema hii single mliitaka wenyewe sasa mbona watu 26000 tu ndio wamenunua wimbo huu. “who bought Q single?” he asked. “we have over 11m followers and his single sold 26k the 1st week. y’all beg 4 it..explain that support 2 me…lmao.”
TDE ambayo pia yupo Kendrick Lamar ni miongoni mwa makundi makali ya rap nchini Marekani.
Bosi huyu ansema hii single mliitaka wenyewe sasa mbona watu 26000 tu ndio wamenunua wimbo huu. “who bought Q single?” he asked. “we have over 11m followers and his single sold 26k the 1st week. y’all beg 4 it..explain that support 2 me…lmao.”
TDE ambayo pia yupo Kendrick Lamar ni miongoni mwa makundi makali ya rap nchini Marekani.


Post a Comment