Davido ameonekana kwenye kipande cha video kinachomuonyesha akiwa na
watu wake wakimpiga mtu mmoja anayedaiwa kuwa ni shabiki nchini
Uingereza.
davidoz
Kipande hiko cha video chenye urefu wa dakika moja kimesambaa na kuzua
maswali mengi kwa mashabiki wake kama hilo tukio linaloonekana ni kweli
au ilikuwa ni drama.
Ngoja tuone nini kitatokea baada ya tukio hilo kama ni kweli Davido
amelifanya au ilikuwa ni kutafuta kick ya lebo yake ya DMW aliyoianzisha
hivi karibuni.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
Post a Comment